Thursday, 22 December 2016

Ajari mbaya tena Shinyanga

AJALI MKOANI SHINYANGA AMBAPO BUS LA FAHARI DAR SHY LIMEGONGANA NA RAV4 NA NOAH NYINGINE KUGONGWA. AJALI HII IMETOKEA ENEO LILELILE LILILOUA WATU 21 KWWENYE NOAH.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hii waliokuwa kwenye RAV4 walikuwa wamelewa sana ndani ya gari kuna hadi chupa za castle lite, na RAV ndio iliyohama upande wake na kwenda kuipiga bus upande wa kulia.

No comments:

Post a Comment